Wednesday, March 27, 2019
BREAKING: Lukumay na Nyika wajiengua Yanga SC
Kaimu Mwenyekiti Yanga SC Samuel Lukumay na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili, Hussein Nyika wametangaza kujiuzulu nafasi zao.
Wawili hao wameamua kuachia ngazi mapema ili kupisha mchakato wa uchaguzi mkuu wa klabu ambao utafanyika hivi karibuni.
Nyika na Lukumay wameamua kujiondoa ili kutoa mwanya mzuri kwa mchakato wa uchaguzi kwenda vizuri ili kuja kupata warithi wa nafasi hizo.
Licha ya kujiuzulu, Nyika amewamba msamaha wale wote aliowakosea pindi akiwa madarakani ndani ya klabu.
''Ninajiuzulu nafasi zangu zote nikiwa kama Mjumbe wa kamati ya utendaji.
"Lakini pia Mwenyekiti wa kamati ya usajili na kamati ya mashindano na niombe msamaha kwa wale niliowakosea katika utekelezaji wangu wa majukumu''.
Ikumbukwe hivi karibuni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini Yanga, George Mkuchika, alitangaza kuwa watakuwa na mkutano mkuu maalum utakaoenda kuamua kama klabu inahitaji kufanya uchaguzi mkuu ama wa kujaza nafasi.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
