Wednesday, November 7, 2018
Kuna Tofauti Gani kati ya Kupenda na Kutamani?
Hapo zamani kulikwepo na Mwalimu mmoja anayejulikana mpaka leo hii, aitwaye Buddha. Kutokana na busara zake na hekima zake, alifahamika na wengi na alikuwa akitembelewa na watu mbalimbali wakiwa na maswali mbalimbali, kwa lengo la kumuuliza na kufahamu mengi.
Aliwahi kuulizwa, JE KUNA TOFAUTI GANI KATI YA KUPENDA NA KUTAMANI?
Buddha alijibu; "Ukiliona Ua zuri ukalitamani, utalichuma. Lakini ukilipenda utalimwagia maji, kuliwekea rutuba na kulijali ili lizidi kuchanua vyema".
Jibu hilo ni fumbo tosha kabisa kuonyesha utofauti uliopo kati ya kupenda na kutamani.
Vijana wengi wa sasa wanashindwa kutofautisha tofauti kati ya Kupenda na Kutamani na ndio maana Mahusiano ya Wakati wa sasa, mengi sio ya kudumu kwa wakati mrefu.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...

