Sunday, January 9, 2022

Country boy aondoka Konde Gang

upitia akaunti ya Konde Gang wameandima ujumbe huu:- TAARIFA: Mkataba Kati Ya Konde Music Worldwide Na @countrywizzy_tz Umemalizika Hii Leo Tar 8 January 2022. Kuanzia Leo Country Wizzy Atakuwa Msanii Anaejitegemea Baada Ya Kufikia Makubaliano Ya Pande Zote Mbili. Konde Music Worldwide Inamtakia Kila Lenye Kheri Country Wizzy Kwenye Career Yake Ya Music Pamoja Na …

The post Country boy aondoka Konde Gang appeared first on Bongo5.com.

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumapili, Januari 9, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Januari 9, 2022 Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...

The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumapili, Januari 9, 2022 appeared first on Global Publishers.

Orodha ya Mawaziri walioteuliwa na Rais Samia

Rais Samia afanya mabadiliko ya baraza la mawaziri na kubuni wizara mpya Akitangaza mabadiliko hayo, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amesema Rais amefanya mabadiliko ya muundo katika wizara tatu. Rais Samia ”ameunganisha wizara tatu, iliyokuwa wizara ya uwekezaji iliyokuwa chini ya ofisi ya Waziri Mkuu na pia ameunganisha wizara ya biashara moja ambayo itaitwa …

The post Orodha ya Mawaziri walioteuliwa na Rais Samia appeared first on Bongo5.com.

Saturday, January 8, 2022

Simba Queens Yaichakaza Vibaya Yanga Princes

SIMBA Queens imeendeleza rekodi ya ubabe mbele ya Yanga Princess kwa kuendeleza vipigo kwenye msimu wao wa nne mfululizo baada ya kuibuka na ushindi wa...

The post Simba Queens Yaichakaza Vibaya Yanga Princes appeared first on Global Publishers.

Achomwa Moto na Rafiki Yake Kisa Mke

Daud Emanuel (27) mkazi wa Chamwino Manispaa ya Morogoro, amenusurika kifo baada ya kumwagiwa mafuta ya petroli kisha kuchomwa moto na rafiki yake aliyefahamika kwa...

The post Achomwa Moto na Rafiki Yake Kisa Mke appeared first on Global Publishers.

Rais Samia afanya mabadiliko ya baraza la mawaziri na kubuni wizara mpya

Rais wa Tanzani Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya baraza la mawaziri na kubuni wizara mpya

Barabara Ndefu Zaidi Duniani Chini ya Ziwa Yaanza Kufanya Kazi

IKIWA ni takriban miaka minne ya ujenzi, barabara ndefu zaidi ya chini ya maji nchini China, hatimaye barabara hiyo imeanza kutumika kwa kupitisha magari chini...

The post Barabara Ndefu Zaidi Duniani Chini ya Ziwa Yaanza Kufanya Kazi appeared first on Global Publishers.

Je ni yapi manufaa viliyoyapata vyama vya upinzani Tanzania kwa kujiuzulu kwa Spika Ndungai?

Kung'atuka madarakani kwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai mnamo Januari 6, 2022 kumetajwa kuwa ni matokeo ya mwenendo wake na ndiye chanzo cha kuporomoka utendaji bora wa bunge miongoni mwa madoa ambayo yamechafua uongozi wake.

Sarah wa Harmonize Mikononi Mwa Sallam

MIONGONI mwa tuhuma nzito zilizotolewa na staa wa Bongo Fleva, Harmonize au Konde Boy Mjeshi siku ile ya Novemba 18, 2021 katika Uwanja wa Ndege...

The post Sarah wa Harmonize Mikononi Mwa Sallam appeared first on Global Publishers.

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...