Friday, December 31, 2021
Mvutano wa Ukraine: Putin amwambia Biden vikwazo vipya vinaweza kuvunja uhusiano
Kesho tutakutana na timu ngumu – Kocha Pablo, kuhusu Simba SC Vs Azam
Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba SC hapo kesho watakuwa na kibarua kizito cha kuwavaa matajiri wa jiji la Dar es Salaam Azam FC kwenye utakaopigwa katika dimba la Mkapa. Kuelekea mchezo huo Kochha Mkuu wa Mabingwa hao wa Nchi, Pablo Franco amsema kuwa hapo kesho watakutana na timu ngumu hivyo wanahitaji …
The post Kesho tutakutana na timu ngumu – Kocha Pablo, kuhusu Simba SC Vs Azam appeared first on Bongo5.com.
MUSIC VIDEO: Plan Madini – Niroge
Anaitwa Plan Madini moja kati ya wasanii wa muziki wa Bongo Fleva waliofanya vizuri sana kwenye gemu kwa mwaka 2021. Hapa anakukaribisha ufunge mwaka kwa kutazama video ya wimbo wake mpya wa ‘NIROGE’. Mdundo umegongwa na Java na kufanyiwa mixing na Mr T Touch, Huku video ikiongozwa na Joowzey. Gusa link hapa chini kutazama video …
The post MUSIC VIDEO: Plan Madini – Niroge appeared first on Bongo5.com.
Namungo Watangaza Makocha Wapya
Klabu ya Namungo imetangaza benchi jipya la ufundi la klabu hiyo. Imemtambulisha Hanour Janza ambaye ni raia wa Zambia kuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo...
The post Namungo Watangaza Makocha Wapya appeared first on Global Publishers.
Rais wa zamani Afghanistan akanusha kuondoka na mamilioni ya fedha
Rais wa zamani wa Afghanistan Ashraf Ghani amesema hakuwa na chaguo jingine ila kuondoka haraka Kabul wakati Wataliban waliukaribia mji huo mkuu. Ghani amekanusha kuwa kulikuwa na mazungumzo yaliyokuwa yanaendelea wakati huo ya makubaliano ya kuwachia madaraka kwa amani, kama walivyodai maafisa wa zamani wa Afghanistan na Marekani. Katika mahojiano na shirika la utangazaji la …
The post Rais wa zamani Afghanistan akanusha kuondoka na mamilioni ya fedha appeared first on Bongo5.com.
CCM Wamkomalia Ndugai
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameendelea kukaliwa 'koo' na chama chake baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Singida kusema, hakitakubali kuona...
The post CCM Wamkomalia Ndugai appeared first on Global Publishers.
Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 31, 2021
Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Desemba 31, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App Yako ya Kijanja...
The post Yasome Hapa Magazeti ya Leo Desemba 31, 2021 appeared first on Global Publishers.
Ibrahim Ajib Asajiliwa Azam FC, Atangazwa Rasmi
KIUNGO wa mpira Ibrahim Ajib baada ya kusitisha mkataba wake na mabosi wake wa zamani Simba ametambulishwa ndani ya kikosi cha Azam FC. Ajib...
The post Ibrahim Ajib Asajiliwa Azam FC, Atangazwa Rasmi appeared first on Global Publishers.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...