Friday, January 29, 2021
Walimu Kenya wataka kupatiwa bunduki ili kujilinda dhidi ya wahalifu
Rayvanny aachia Cover ya Album yake ya Kwanza
Staa wa muziki wa Bongo Fleva a.k.a CHUI Rayvanny ameachia Cover rasmi ya Album yake ya Kwanza Sound From Africa ambayo tayari maandalizi yake yamekamilika na huenda ikaachiwa Muda wowote kuanzia sasa
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Rayvanny amepost cover ya albam hiyo na kuandika " My First Album in my Music career , Thanks God For this one πππ #SoundFromAfrica πΌπ₯πΌ
Nione comment Yako TUACHIE
Msemaji wa serikali Dkt Abbas:Tanzania inazingatia tahadhari dhidi ya corona
Msemaji mkuu wa serikali nchini Tanzania Dkt. Hassan Abbas amesema Tanzania inazingatia miongozo yote ya tahadhari dhidi ya ugonjwa wa corona na hata wakati huu ambao dunia inapambana na wimbi la pili la maambukizi ya virusi hivyo.
Akihojiwa na kitoa cha redio cha EFM kilichopo jijini Dar es salam, Dkt. Abbas amesema "Sisi Tanzania msimamo wetu ni ule ule,tunafahamu tatizo lipo duniani na dunia inahangaika lakini cha kwanza watanzania waondoe hofu wizara ya afya ilishatoa miongozo, ile miongozo bado ipo haijawahi kufutwa kuna tahadhari za kuchukua hivi wewe kunawa mikono mpaka covid? Alihoji Dkt Abbas.
'' Tulikuwa tuna nawa sana shule baadaye tukaacha kwahiyo kuna zile tahadhari kama alivyosema juzi Mh Rais tuendelee kuzichukua lakini Tanzania tunaamini tumedhibiti haya maambukizi kwa njia zetu za kisayansi na kumshukuru Mwenyezi Mungu''.
''Unajua Tanzania watu wanasahau wanafikiri tulidharau sana huu ugonjwa tulichukua hatua zote dunia ilizokuwa inataka isipokuwa kujifungia ndani maana kuna watu wanatamani sana kufungiwa ndani sijui kuna nini huko ndani" Alisema Bw. Abbas.
Kauli hii inakuja siku moja baada ya shirika la Afya duniani WHO kupitia ofisi yao ya kanda ya Afrika kutoa taarifa ikizitaka mamlaka nchini kujiandaa kupokea chanjo ya corona kama mataifa mengine yanavyofanya na kuikumbusha Tanzania hayo ni sehemu ya makubaliano ya kanuni za afya za kimataifa ambapo nchi wanachama wamekubali kwa pamoja kuzuia kusambaa kwa magonjwa.
Rais Magufuli ameweka wazi chanjo hazifai na kuwataka watanzania kusimama imara na kuwa waangalifu na mambo ya kuletewa huku akiendelea kusisitiza msimamo wake wakutojifungia ndani na kutaka watu kuchukua tahadhari ikiwemo kujifukiza na kumuomba Mungu.
Mapema mwanzoni mwa juma Kanisa Katoliki nchini humo kupitia baraza la maaskofu lilitoa ujumbe wa tahadhari kwa waumini wake na kukusitiza ni muhimu kuendelea kuchukua tahadhari kwani wao kama kanisa wameona iko haja ya kufanya hivyo.
Senzo Ataja Sababu ya Kumpa Ukocha Nizar
MSHAURI Mkuu wa Klabu ya Yanga kuelekea kwenye mfumo wa mabadiliko, Senzo Mazingisa amesema kuwa wameamua kuwaongeza vijana ndani ya timu ili kwenda na kasi ya soka la kisasa.
Yanga, juzi Januari 27 ilimtambulisha Nizar Khalifan kuwa kocha msaidizi akichukua mikoba ya Juma Mwambusi ambaye aliomba kujiweka kando kutokana na matatizo ya kiafya pamoja na Edem Mortotsi kuwa kocha wa viungo.
Nizar alikuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya African Lyon ambayo inashiriki Ligi Daraja la Kwanza na pia aliwahi kucheza timu ya Mtibwa Sugar pamoja na timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars.
Akizungumza na Championi Ijumaa, Mazingisa alisema: "Tunahitaji kuongeza thamani ya ubora katika benchi ndiyo maana wote ni vijana na hata kocha mkuu wetu ni kijana ili kuendana na soka la kisasa.
"Aliongeza kuwa anaamini watu waliochaguliwa ni sahihi na watafanya kazi kwa ushirikiano kufanikisha malengo waliyojiwekea katika msimu huu."
Ninaona watu ambao wamechaguliwa ni watu wazuri, hivyo ni suala la kusubiri na kuona namna ambavyo tutaendelea kupambana," alisema Senzo.Yanga inashika nafasi ya kwanza katika ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 44 baada ya kucheza michezo 18.
Stori: Wilbert Molandi,Dar es Salaam
Source
MHUBIRI ALIYEJIGAMBA KUFUFUA WAFU SIKU YA ALHAMIS AKAMATWA
Fahamu Kiundani Kuhusu Tatizo la Pumu
Mambo Nane yatayomfanya mwenza wako aongeze malavidavu
Miongoni mwa vitu ambavyo vitamfanya mwenza wako awwze kuongeza upendo kwako ni pamoja na mambo yafutayo
1. Jiatahidi kumpongeza hasa pale afanyapo vizuri.
2. Mkumbushe siku yake kuzaliwa.
3. Mpeleke mazingira ambayo hajawahi kwenda.
4. Muandie ujumbe ufupi wa mandishi mara kwa mara.
5. Mpe muda wa kufanya mambo yanayomuhusu.
6. Mfanyie shopping kila unapoweza.
7. Kumbuka majina ya rafiki zake na ndugu zake.
8. Mwambie maneno ya kimahusiano mara kwa mara.
Source
JPM amtumia salamu mbunge mwenye viwanda Zimbabwe
Thursday, January 28, 2021
WADAU WA HABARI KANDA YA ZIWA WAAHIDI KUENDELEA KUFANYA KAZI NA VYOMBO VYA HABARI
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...


















